Pelaji wa Konstanz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sahani ya shaba iliyofunikwa kwa dhahabu yenye sura ya Mt. Pelaji – Kanisa kuu la Konstanz (karne ya 12karne ya 13).

Pelaji wa Konstanz (270 - 283) alikuwa mtoto Mkristo wa Emona, leo nchini Slovenia, aliyeuawa kwa sababu ya imani yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kijerumani) Fredy Meyer: Sankt Pelagius und Gregor der Große: Ihre Verehrung im Bistum Konstanz. Alber, Freiburg, München 2002.
  • (Kijerumani) Wilhelm Kohl: Pelagius (Heiliger) in Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 7, Herzberg 1994, ISBN 3-88309-048-4, Sp. 173–174.
  • (Kijerumani) Helmut Maurer: Das Bistum Konstanz. de Gruyter, Berlin, New York 2003.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.