Nenda kwa yaliyomo

Pauline Philipo Gekul

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pauline Philipo Gekul (amezaliwa 25 Septemba 1978) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa Chama cha Mapinduzi (CCM) akitokea kwa mahasimu wao CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Babati Mjini kwanzia mwaka 2015. Mwaka 2020 alichaguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli kuwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi.[1] [2]

Kufuatia kifo cha Rais Magufuli mnamo mwezi Machi 2021, Rais mpya wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, Samia Suluhu Hassan alimchagua kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo, Sanaa, Utamaduni na Michezo.

  1. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Pauline Gekul
  2. "Maelezo ya Mbunge Pauline Gekul". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-01-22. Iliwekwa mnamo 2021-01-17.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pauline Philipo Gekul kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.