Paula Frassinetti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Paula.

Paula Frassinetti (Genova, 3 Machi 1809 - Roma, 11 Juni 1882[1]) alikuwa bikira wa Italia kaskazini ambaye, kwa kushinda matatizo mengi, alianzisha shirika la Masista wa Mt. Dorothea kwa ajili ya malezi ya wasichana na mayatima[2], akaliongoza kwa ushujaa na upole[3].

Kwa sasa masista wake wako 1,200 katika Ulaya, Afrika, Asia na Amerika ya Kilatini[4].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 8 Juni 1930 na Papa Yohane Paulo II mtakatifu tarehe 11 Machi 1984.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Juni[5][6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Saint Paula Frassinetti. Jalada kutoka ya awali juu ya 2008-10-21. Iliwekwa mnamo 2021-06-10.
  2. Joseph S.J., P.J. "St. Paula Frassinetti", Vatican Radio. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-10-17. Iliwekwa mnamo 2021-06-10.
  3. Saint Benedetta Cambiagio Frassinello. Santi e Beati. Iliwekwa mnamo 9 January 2017.
  4. Aubut, Rebecca. "Sisters of St Dorothy celebrate 100 years in the United States", The Anchor, Diocese of Fall River, Massachusetts. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-08-15. Iliwekwa mnamo 2021-06-10.
  5. Martyrologium Romanum
  6. "St. Paula Frassinetti", Catholic Courier, Diocese of Rochester, NY. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-05. Iliwekwa mnamo 2021-06-10.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.