Paterni wa Avranches

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Paternus katika dirisha la kioo cha rangi huko Orleans.

Paternus (au Paterne, Patier, Pair, Padarn; Poitiers, mwisho wa karne ya 5 - Scissy, 565 hivi) alikuwa abati aliyeanzisha monasteri mbalimbali hadi Bretagne (Ufaransa) akawa askofu wa Avranches, Normandy kuanzia mwaka 552 hadi kifo chake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Aprili[2][3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Dictionnaire hagiographique - Abbé Pétin - 1859
  • Jacques Baudoin, Grand livre des saints : culte et iconographie en Occident, Éd. Créer, 2006, n. 434, p. 385 : « Saint Paterne » ([1]).
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.