Mwili
Mwili ni kinachofanya binadamu aonekane na kuishi katika ulimwengu, kwa kufanana na wanyama. Tofauti kubwa iliyopo kati yao upande wa uwezo wa akili na wa utendaji pengine inaelezwa na dini, falsafa n.k. kwa kudai uwepo wa roho pia katika umbile la binadamu.
Mwili unaundwa na viungo vyake kwa mfano kichwa, shingo, kifua, mikono na miguu. Una mifupa 205.
Umbo lake linategemea urithi lakini pia maisha ya mtu yalivyo. Urefu unategemea mambo mbalimbali, kama vile jinsia.
Kabla ya kufikia utu uzima, mwili unaundwa na seli bilioni 100.000
Baada ya kufa, mwili wa binadamu unaitwa maiti, kumbe ule wa mnyama unaitwa mzoga.
Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mwili kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |