Musiani Maria
Mandhari

Musiani Maria, F.S.C. (jina la awali: Louis Wiaux; Mellet, Hainaut,20 Machi 1841 - Malonne, Namur, Ubelgiji, 30 Januari 1917) alikuwa bradha alitumia karibu maisha yake yote kulea kwa bidii vijana [1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Paulo VI tarehe 30 Oktoba 1977, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 10 Desemba 1989.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Januari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Mutien-Marie at Patron Saints Index
- Mutien-Marie at Catholic Online
- Saint of the Day, January 30: Mucian Mary Wiaux Ilihifadhiwa 25 Februari 2020 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Louis Wiaux in ODIS - Online Database for Intermediary Structures Ilihifadhiwa 28 Aprili 2016 kwenye Wayback Machine.