Nenda kwa yaliyomo

Mto Kobara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya beseni la mto Sobat.

Mto Kobara unapatikana kusini magharibi mwa Ethiopia (Jimbo la Oromia).

Ni tawimto la mto Dipa, ambalo ni tawimto la mto Birbir, unaochangia mto Baro ambao kwa kuungana na mto Pibor unaunda mto Sobat, tawimto la Nile Nyeupe.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]