Mtakatifu Plasido
Mtakatifu Plasido, O.S.B. (Roma, 515- Messina, 541) alikuwa mmonaki wa Italia, mfuasi wa Benedikto wa Nursia, kama inavyoelezwa na Gregori Mkuu katika kitabu "Majadiliano".
Alitumwa Sicilia kuanzisha monasteri nyingine, na huko inasimuliwa kuwa yeye, ndugu zake watatu na wamonaki 30 walivamiwa na kuuawa na maharamia Wavandali wenye chuki kwa Kanisa Katoliki, lakini habari hiyo haina uthibitisho[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 5 Oktoba[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/73000
- ↑ Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana 2001 ISBN 88-209-7210-7)
Vyanzo[hariri | hariri chanzo]
- Gardner, Edmund G. (editor) (1911. Reprinted 2010). The Dialogues of Saint Gregory the Great. Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 978-1-889758-94-7. Archived from the original on 2015-06-07. Retrieved 2020-10-03. Check date values in:
|date=
(help)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- The Holy Rule of St. Benedict Archived 3 Januari 2007 at the Wayback Machine. - Online translation by Rev. Boniface Verheyen, OSB, of St. Benedict's Abbey
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |