Mlozilozi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlozilozi
(Hagenia abyssinica)
Mlozilozi
Mlozilozi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Jenasi: Hagenia
J.F.Gmel.
Spishi: H. Abyssinica
Bruce J.F.Gmel.

Mlozilozi au mdobore (kutoka Kihehe; kwa lugha ya kisayansi Hagenia abyssinica) ni mti mkubwa wa familia Rosaceae.

Mti huu unatokea milimani kwa Afrika ya Kati na ya Mashariki kwa mwinuko wa 2000-3000. Urefu wake ni hadi m 20 na una shina fupi, matawi manene na gome nene linalobabadua. Unatoa mua madogo katika vishada yenye rangi ya machungwa isiyoiva hadi nyekundu-pinki.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mlozilozi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.