Gome

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa shina lililokatika: 0 = ugale, 1 = mpaka wa mviringo wa ukuaji, 2 = mifereji ya sandarusi, 3 = miwale ya mosi ya ubao, 4 = miwale ya pili ya ubao, 5 = kambio, 6 = miwale ya ubao katika gome la ndani, 7 = kambio ya gome la nje, 8 = gome la ndani, 9 = gome la nje

Gome (kwa Kiingereza: bark) ni gamba la mti: gamba hilo ni kama nguo ya mti inayolinda uhai wake unaotegemea utomvu unaopanda kutoka mizizini kwenda matawini.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gome kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.