Angiospermae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aina mbalimbali za Angiospermae.

Angiospermae (yaani mimea inayochanua maua; kwa Kiingereza: angiosperms[1][2]; pia Magnoliophyta) ndilo kundi kubwa zaidi la mimea ya nchi kavu (Embryophyte) likiwa na oda 64, familia 416, jenasi 13,000 na spishi zinazojulikana 300,000 hivi.[3]

Mimea inayochanua ya zamani zaidi ilipatikana miaka milioni 160 iliyopita hivi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Lindley, J (1830). Introduction to the Natural System of Botany. London: Longman, Rees, Orme, Brown, and Green. xxxvi. 
  2. Cantino, Philip D.; Doyle, James A.; Graham, Sean W.; Judd, Walter S.; Olmstead, Richard G.; Soltis, Douglas E.; Soltis, Pamela S.; Donoghue, Michael J. (2007). "Towards a phylogenetic nomenclature of Tracheophyta". Taxon 56 (3): E1–E44. JSTOR 25065865. doi:10.2307/25065865. 
  3. Christenhusz, M. J. M.; Byng, J. W. (2016). "The number of known plants species in the world and its annual increase". Phytotaxa 261 (3): 201–217. doi:10.11646/phytotaxa.261.3.1. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

      . https://www.researchgate.net/publication/275374707.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Angiospermae kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.