Mwaridi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwaridi
(Rosa spp.)
Mwaridi
Mwaridi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Jenasi: Rosa
Spishi: R. x damascena Mill.

na angalia katiba

Mwaridi ni mti, kichaka au mtambaa wenye miiba na maua yanukiayo vizuri. Kwa asili jina hili limetumika kwa Rosa x damascena, lakini siku hizi hutumika kwa spishi zote za jenasi Rosa. Jenasi hii ni jenasi-mfano ya familia Rosaceae. Maua huitwa mawaridi au halwaridi.

Spishi zilizotapakaa[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwaridi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.