Mkoa wa Ruyigi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Mkoa wa Ruyigi katika Burundi

Mkoa wa Ruyigi ni moja kati ya mikoa ya Burundi. Jumla ya wakazi ilikuwa 370,000 mwaka 2007. Eneo lake ni la 2,339 km².

Mji mkuu ni Ruyigi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Mikoa ya Burundi Bendera ya Burundi
BubanzaBujumbura MjiniBujumbura VijijiniBururiCankuzoCibitokeGitegaKaruziKayanzaKirundoMakambaMuramvyaMuyingaMwaroNgoziRumongeRutanaRuyigi
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Burundi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ruyigi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.