Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Bubanza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Mkoa wa Bubanza katika Burundi

Mkoa wa Bubanza ni mmoja kati ya mikoa ya Burundi. Jumla ya idadi ya wakazi ilikuwa 354,000 mwaka 2007. Eneo lake ni la km² 1,089.

Mji mkuu ni Bubanza.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]


Mikoa ya BurundiBendera ya Burundi
BubanzaBujumbura MjiniBujumbura VijijiniBururiCankuzoCibitokeGitegaKaruziKayanzaKirundoMakambaMuramvyaMuyingaMwaroNgoziRumongeRutanaRuyigi
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Burundi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bubanza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.