Mkiwano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkiwano
(Cucumis metulifer)
Mkiwano uliotoa tunda
Mkiwano uliotoa tunda
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Cucurbitales (Mimea kama mboga)
Familia: Cucurbitaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mboga)
Jenasi: Cucumis
Spishi: C. metulifer
E.Mey. ex Naud.

Mkiwano au mgakachika (Cucumis metulifer) ni mmea mtambaa wa familia Cucurbitaceae. Matunda yake, yaitwayo kiwano au gakachika, yamekuwa yanapendwa tangu miaka 1980 kwa ajili ya athari nzuri kwa afya. Asili yake ni Jangwa la Kalahari lakini siki hizi hukuzwa nchini Nyuzilandi, Australia, Chili, Italia, Marekani, Ujerumani na Ureno.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkiwano kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.