Nenda kwa yaliyomo

Meinardi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Meinardi (kwa Kijerumani: Meinhard; 1134/1136 - 1196) alikuwa padri kanoni wa Ujerumani ambaye alipokaribia uzee alikwenda kufanya umisionari huko Livonia, leo Latvia, akawa askofu wa kwanza wa nchi hiyo na kuiwekea msingi imara ya imani ya Kikristo[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 8 Septemba 1993.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Oktoba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Butler, Alban (1995). Butler's Lives of the Saints, Volume 12. uk. 283.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91620
  3. Martyrologium Romanum
  • Henrici Chronicon Livoniae, ed. L. Arbusow- A. Bauer, Darmstadt 1959, pp. 3–11, 348
  • Piero Bugiani (a cura di), Chronicon Livoniae, Books & Company, Livorno, 2005, pp. 448
  • MGH, Script., XXIII, pp. 241 sg.
  • Arnoldi Chronica Slavorum, ibid., XXI, p. 2119
  • (Kiingereza) Eric Christiansen, The Northern Crusades, Penguin Books, New York, 1997
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.