Mbandaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kituo cha biashara cha Mbandaka, 2008


Mbandaka
Mbandaka is located in Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Mbandaka
Mbandaka

Mahali pa mji wa Mbandaka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Majiranukta: 0°02.52′0″S 18°15.21′0″E / 0.04200°S 18.25350°E / -0.04200; 18.25350
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Mkoa Mkoa wa Ikweta
Idadi ya wakazi (2012)
 - Wakazi kwa ujumla 345,663

Mbandaka ni kati ya miji mikubwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Iko kwenye ikweta kando ya mto Kongo.

Idadi ya wakazi ni mnamo 200,000. Mbandaka ni makao makuu ya mkoa wa Équateur.

Mji ulianzishwa na mpelelezi Henry Morton Stanley mwaka 1883 kwa jina la Equateurville. Jina likabadilishwa baadaye kuwa Coquilhatville na tangu mwaka 1966 ni "Mbandaka".

Uvuvi ni sehemu muhimu ya uchumi wa mji. Samaki wanauzwa hasa Kinshasa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mbandaka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.