Maria Fransiska wa Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha halisi ya Mt. Maria Fransiska wa Yesu.

Maria Fransiska wa Yesu[1] (jina la awali: Anna Maria Rubatto; Carmagnola, Torino, Italia, 14 Februari 1844Montevideo, Uruguay, 6 Agosti 1904) alikuwa mwanzilishi wa shirika la Masista Wakapuchini wa Mama Rubatto.

Jumuiya hiyo ilianzia Italia na kufanya kazi hasa Amerika Kusini kati ya wahamiajifukara, alipokwenda mwenyewe walau mara saba hadi alipofariki dunia[2].

Tarehe 10 Oktoba 1993 Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri, halafu tarehe 15 Mei 2022 Papa Fransisko mtakatifu, akiwa mtu wa kwanza wa Uruguay kupewa heshima za namna hiyo[3].

Sikukuu yake ni tarehe 6 Agosti[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.