Magret Bays

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Magret Bays.

Magret Bays (kwa Kifaransa: Marguerite; Sivierez, Fribourg, Uswisi, 8 Septemba 1815 – Sivierez, 27 Juni 1879), alikuwa mshonaji wa Uswisi.

Alijiunga na Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko na kutekeleza karama yake katika maisha ya nyumbani akijitosa kwa nguvu zote kusaidia wahitaji bila kuacha sala[1].

Mwaka 1854 alijikuta ana madonda mwilini kama yale ya Yesu msulubiwa. Pia alipata njozi.

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 29 Oktoba 1995, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Oktoba 2019.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Python, Martial (1 January 2011). La vie mystique de Marguerite Bays: stigmatisée suisse. Parole et silence. pp. 35–39. ISBN 9782889180059. OCLC 779696750. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.