Magdalena wa Nagasaki
Mandhari

Magdalena wa Nagasaki (|長崎のマグダレナ|Nagasaki no Magudarena) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki kutoka Nagasaki, Japani, ambaye alifanya bidii kueneza imani hadi alipofia dini yake mjini huko tarehe 16 Oktoba 1634 akiwa na umri wa miaka 23 baada ya kuning'inizwa siku 13 miguu juu na kichwa chini ndani ya shimo lililofunikwa kwa mbao [1].
Wazazi wake walitangulia kufia dini mwaka 1620 hivi.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mfiadini tarehe 18 Februari 1981 na mtakatifu tarehe 18 Oktoba 1987.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 28 Septemba, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 15 Oktoba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Magdalene of Nagasaki, O.S.A. Ilihifadhiwa 11 Machi 2007 kwenye Wayback Machine.
- Mary Magdalene of Nagasaki canonized (Vatican)
- Life of St. Magdelene of Nagasaki (Augustinians of the Midwest) Ilihifadhiwa 13 Julai 2012 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |