Wagogo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: en:Gogo people
CGN2010 (majadiliano | michango)
wikify
Mstari 1: Mstari 1:
'''Wagogo''' (mmojawao anaitwa Mgogo) ni [[kabila]] la [[Tanzania]] ya kati, wenyeji wa mikoa ya [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]] na [[Mkoa wa Singida|Singida]].
'''Wagogo''' (mmojawao anaitwa Mgogo) ni [[kabila]] la [[Tanzania]] ya kati, wenyeji wa mikoa ya [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]] na [[Mkoa wa Singida|Singida]]. [[Lugha]] yao ni [[Cigogo]] (kwa [[Kiswahili]] hutamkika [[Kigogo]]).


[[Dini]] ya wengi wao ni [[Ukristo]], hasa wa [[madhehebu]] ya [[Anglikana]], halafu wa [[Kanisa Katoliki]]. [[Historia]] ya Wagogo inaweza kuelezeka kwa kuangalia yafuatayo: [[Utawala]] wa [[jadi]], [[nyumba]] za asili, [[chakula]] kikuu na [[lafudhi]] ya lugha.
[[Lugha]] yao ni [[Cigogo]] (kwa [[Kiswahili]] hutamkika [[Kigogo]]).


== Utawala wa jadi ==
[[Dini]] ya wengi wao ni [[Ukristo]], hasa wa [[madhehebu]] ya [[Anglikana]], halafu wa [[Kanisa Katoliki]].
Wagogo walikuwa wakiongozwa na mtu mmoja aliyeitwa '''Mtemi'''. Watemi kadhaa waliongoza kabila hilo kabla ya mfumo wa uongozi kuvurugwa na [[ukoloni]]. Mtemi wa mwisho aliitwa '''Mazengo''' ambaye alitokea katika [[kijiji]] cha [[Mvumi]], [[wilaya ya Dodoma vijijini]].


== Nyumba za asili ==
[[Historia]] ya Wagogo inaweza kuelezeka kwa kuangalia yafuatayo: [[Utawala]] wa [[jadi]], [[nyumba]] za asili, [[chakula]] kikuu na [[lafudhi]] ya lugha.
Wagogo wamekuwa wakijenga nyumba ambazo huitwa "'''tembe'''". Tangu zamani kuta za tembe zilijengwa kwa fito (sito kwa lugha yao) zilizosukwa kwa kupisha kuzuia mwanga na maji. Vipande vya kuta vilivyosukwa kwa sito vinaitwa "izizi". Tembe huezekwa kwa udongo ambao hushikiliwa na miti midogomidogo (walo). Walo huwa unashikiliwa na miti mikubwa kidogo (mahapa) na mahapa hushikiliwa na miti mikubwa (Michichi). Michichi ambayo ndiyo hubeba uzito wote hushikiliwa na nguzo kubwa za miti imara na migumu. Nguzo hizo hutiwa masumbiri. Kwa miaka ya karibuni na hata sasa kuta za tembe hujengwa na matofali yanayotengenezwa kwa udongo.


== Chakula kikuu ==
1) Utawala wa jadi: Wagogo walikuwa wakiongozwa na mtu mmoja aliyeitwa '''Mtemi'''. Watemi kadhaa waliongoza kabila hilo kabla ya mfumo wa uongozi kuvurugwa na [[ukoloni]]. Mtemi wa mwisho aliitwa '''Mazengo''' ambaye alitokea katika [[kijiji]] cha [[Mvumi]], [[wilaya ya Dodoma vijijini]].
Wagogo hula [[ugali]] wa [[uwele]] kama chakula kikuu na huchukulia ugali wa [[mahindi]] kama mwepesi. Miaka ya zamani mlo wa kawaida wa Mgogo mwenye uwezo (yaani mwenye [[ng'ombe]]) ulihusisha ugali, [[maziwa]], [[mafuta]] ya ng'ombe, na [[mboga]] kama [[mlenda]], [[safwe]], n.k. Kwa miaka ya sasa Wagogo wamekuwa wakila chakula cha kawaida kama makabila mengine nchini Tanzania.


== Lafudhi ya lugha ==
2) Nyumba za asili: Wagogo wamekuwa wakijenga nyumba ambazo huitwa "'''tembe'''". Tangu zamani kuta za tembe zilijengwa kwa fito (sito kwa lugha yao) zilizosukwa kwa kupisha kuzuia mwanga na maji. Vipande vya kuta vilivyosukwa kwa sito vinaitwa "izizi". Tembe huezekwa kwa udongo ambao hushikiliwa na miti midogomidogo (walo). Walo huwa unashikiliwa na miti mikubwa kidogo (mahapa) na mahapa hushikiliwa na miti mikubwa (Michichi). Michichi ambayo ndiyo hubeba uzito wote hushikiliwa na nguzo kubwa za miti imara na migumu. Nguzo hizo hutiwa masumbiri. Kwa miaka ya karibuni na hata sasa kuta za tembe hujengwa na matofali yanayotengenezwa kwa udongo.
kabila la Wagogo lina makabila mengine madogomadogo ndani yake. Wao hutofautiana kwa jinsi ambavyo hutamka maneno au huongeza na kupunguza baadhi ya matamshi kwenye neno. Moja ya makundi yanayoonekana wazi kwenye kabila hili ni kama Wanyambwa ambao huongea lafudhi ya Kinyambwa. Wanyambwa hutokea vijiji vya magharibi mwa [[mji]] wa [[Dodoma]]. Wengine ni Wanyaugogo ambayo huongea lafudhi iitwayo Chinyaugogo. Wanyaugogo ambao ndio wanaowakiLisha kundi kubwa sana hutokea vijiji vya mashariki na kusini mwa mji wa Dodoma na pia [[Mpwapwa]].


== Majina ya ukoo ya Cigogo ==
3)Chakula kikuu: Wagogo hula [[ugali]] wa [[uwele]] kama chakula kikuu na huchukulia ugali wa [[mahindi]] kama mwepesi. Miaka ya zamani mlo wa kawaida wa Mgogo mwenye uwezo (yaani mwenye [[ng'ombe]]) ulihusisha ugali, [[maziwa]], [[mafuta]] ya ng'ombe, na [[mboga]] kama [[mlenda]], [[safwe]], n.k. Kwa miaka ya sasa Wagogo wamekuwa wakila chakula cha kawaida kama makabila mengine nchini Tanzania.
majina hayo ni kama Mazengo, Cidosa, Cilongani, Malecela, Mwaluko, Mavunde, Ndejembi, Manyesela, Mbogambi, Mdachi, Kapaya,Matonya, Mtunya, Kusila (endeleza)


4) Lafudhi ya lugha: kabila la Wagogo lina makabila mengine madogomadogo ndani yake. Wao hutofautiana kwa jinsi ambavyo hutamka maneno au huongeza na kupunguza baadhi ya matamshi kwenye neno. Moja ya makundi yanayoonekana wazi kwenye kabila hili ni kama Wanyambwa ambao huongea lafudhi ya Kinyambwa. Wanyambwa hutokea vijiji vya magharibi mwa [[mji]] wa [[Dodoma]]. Wengine ni Wanyaugogo ambayo huongea lafudhi iitwayo Chinyaugogo. Wanyaugogo ambao ndio wanaowakiLisha kundi kubwa sana hutokea vijiji vya mashariki na kusini mwa mji wa Dodoma na pia [[Mpwapwa]].

5) Majina ya ukoo ya Cigogo: majina hayo ni kama Mazengo, Cidosa, Cilongani, Malecela, Mwaluko, Mavunde, Ndejembi, Manyesela, Mbogambi, Mdachi, Kapaya,Matonya, Mtunya, Kusila (endeleza)
{{mbegu}}
{{mbegu}}



Pitio la 01:09, 18 Septemba 2010

Wagogo (mmojawao anaitwa Mgogo) ni kabila la Tanzania ya kati, wenyeji wa mikoa ya Dodoma na Singida. Lugha yao ni Cigogo (kwa Kiswahili hutamkika Kigogo).

Dini ya wengi wao ni Ukristo, hasa wa madhehebu ya Anglikana, halafu wa Kanisa Katoliki. Historia ya Wagogo inaweza kuelezeka kwa kuangalia yafuatayo: Utawala wa jadi, nyumba za asili, chakula kikuu na lafudhi ya lugha.

Utawala wa jadi

Wagogo walikuwa wakiongozwa na mtu mmoja aliyeitwa Mtemi. Watemi kadhaa waliongoza kabila hilo kabla ya mfumo wa uongozi kuvurugwa na ukoloni. Mtemi wa mwisho aliitwa Mazengo ambaye alitokea katika kijiji cha Mvumi, wilaya ya Dodoma vijijini.

Nyumba za asili

Wagogo wamekuwa wakijenga nyumba ambazo huitwa "tembe". Tangu zamani kuta za tembe zilijengwa kwa fito (sito kwa lugha yao) zilizosukwa kwa kupisha kuzuia mwanga na maji. Vipande vya kuta vilivyosukwa kwa sito vinaitwa "izizi". Tembe huezekwa kwa udongo ambao hushikiliwa na miti midogomidogo (walo). Walo huwa unashikiliwa na miti mikubwa kidogo (mahapa) na mahapa hushikiliwa na miti mikubwa (Michichi). Michichi ambayo ndiyo hubeba uzito wote hushikiliwa na nguzo kubwa za miti imara na migumu. Nguzo hizo hutiwa masumbiri. Kwa miaka ya karibuni na hata sasa kuta za tembe hujengwa na matofali yanayotengenezwa kwa udongo.

Chakula kikuu

Wagogo hula ugali wa uwele kama chakula kikuu na huchukulia ugali wa mahindi kama mwepesi. Miaka ya zamani mlo wa kawaida wa Mgogo mwenye uwezo (yaani mwenye ng'ombe) ulihusisha ugali, maziwa, mafuta ya ng'ombe, na mboga kama mlenda, safwe, n.k. Kwa miaka ya sasa Wagogo wamekuwa wakila chakula cha kawaida kama makabila mengine nchini Tanzania.

Lafudhi ya lugha

kabila la Wagogo lina makabila mengine madogomadogo ndani yake. Wao hutofautiana kwa jinsi ambavyo hutamka maneno au huongeza na kupunguza baadhi ya matamshi kwenye neno. Moja ya makundi yanayoonekana wazi kwenye kabila hili ni kama Wanyambwa ambao huongea lafudhi ya Kinyambwa. Wanyambwa hutokea vijiji vya magharibi mwa mji wa Dodoma. Wengine ni Wanyaugogo ambayo huongea lafudhi iitwayo Chinyaugogo. Wanyaugogo ambao ndio wanaowakiLisha kundi kubwa sana hutokea vijiji vya mashariki na kusini mwa mji wa Dodoma na pia Mpwapwa.

Majina ya ukoo ya Cigogo

majina hayo ni kama Mazengo, Cidosa, Cilongani, Malecela, Mwaluko, Mavunde, Ndejembi, Manyesela, Mbogambi, Mdachi, Kapaya,Matonya, Mtunya, Kusila (endeleza)