Majadiliano:Wagogo

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hivi ni kweli kwamba wagogo ni miongoni mwa makabila fukara Tanzania pamoja na wingi wa mifugo waliyonayo? Labda isemwe kama hajafahamu namna nzuri ya kuitumia ili iwanufaishe. Labda tungejiuliza ufukara ni nini na uko wa aina ngapi?