Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tl:Ikatlong Sulat ni Juan
d roboti Nyongeza: sn:3 Johane
Mstari 37: Mstari 37:
[[ru:3-е послание Иоанна]]
[[ru:3-е послание Иоанна]]
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]]
[[sm:O le tusi e tolu a Ioane]]
[[sn:3 Johane]]
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[sv:Tredje Johannesbrevet]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]
[[tl:Ikatlong Sulat ni Juan]]

Pitio la 11:56, 29 Oktoba 2008

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kitabu kimojawapo cha Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili