Lushoto (mji)

Lushoto | |
Mahali pa mji wa Lushoto katika Tanzania |
|
Majiranukta: 4°46′48″S 38°16′48″E / 4.78000°S 38.28000°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Tanga |
Wilaya | Lushoto |
Lushoto ni mji mdogo uliopo kwa kimo cha mita 1930 juu ya UB kwenye milima ya Usambara ni makao makuu ya wilaya ya Lushoto.
Kiutawala ni kata moja tu na kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 28,190 [1] waishio humo.
Kuna barabara ya lami kati ya Lushoto na Mombo inapounganika na barabara kuu B1 Arusha - Dar es Salaam.
Mazingira ya Lushoto inafaa kwa kilimo kuna vivutio vya utalii pia.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Mji ulianzishwa kwa jina la Wilhelmstal ("bonde la Wilhelm") na Wajerumani wakati wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Jina lilichaguliwa kwa heshima ya kaisari Wilhelm II aliyekuwa mtawala wa Ujerumani hadi 1918.
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- Lushoto District Homepage for the 2002 Tanzania National Census
- lushoto district website Archived 28 Septemba 2007 at the Wayback Machine.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Lushoto (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |
![]() |
Kata za Wilaya ya Lushoto - Mkoa wa Tanga - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Baga | Bumbuli | Dule "B" | Dule "M" | Funta | Gare | Hamtoye | Kilole (Lushoto) | Kwai | Kwekanga | Kwemashai | Kwemshasha | Lukozi | Lunguza | Lushoto | Maheza Ngulu | Makanya | Malibwi | Malindi | Mamba | Manolo | Mayo | Mbaramo | Mbuzii | Mgwashi | Milingano | Mlalo | Mlola | Mnazi | Mng'aro | Mponde | Mtae | Mwangoi | Ngulwi | Ngwelo | Nkongoi | Rangwi | Shume | Soni | Sunga | Tamota | Ubiri | Usambara | Vuga |