Leokadia wa Toledo
Mandhari

Leokadia wa Toledo (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Toledo, 9 Desemba 304) alikuwa bikira Mkristo aliyeuawa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano akiacha ushuhuda maarufu wa imani yake kwa Yesu [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Desemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Leocadia at the Catholic Encyclopedia
- Patron saints: Leocadia
- CatholicSaints
- Catholic.org
- (Kihispania) Santa Leocadia
- (Kihispania) Santa Leocadia
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |