Kunibati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake katika mnara wa ukumbi wa mji wa Cologne.

Kunibati (pia: Kunibert, Cunibert, Cunipert; kwenye mto Moselle, kati ya Ufaransa na Ujerumani, 590 hivi; Cologne, leo nchini Ujerumani, 663 hivi) alikuwa shemasi mkuu wa Trier[1], halafu askofu wa 9 wa Cologne kuanzia mwaka 623[2] .

Alifufua Ukristo katika jimbo lake baada ya vurugu za uvamizi wa Wapagani, pamoja na kusaidia watawala wa nchi[3][4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Novemba[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.