Konsonanti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Konsonanti ni sauti za lugha ambazo katika Kiswahili zinatajwa kwa herufi B, Ch, D, DH, F, G, GH, H, J, K, L, M, N, NG', P, R, S, SH, T, TH, V, W, Y na Z.

Kwa sauti hizo hewa haiondoki mdomoni moja kwa moja lakini mwendo wake ni pamoja na sauti za pembeni kwa kutumia shingo, ulimi au meno.

Hii ni tofauti na sauti za vokali au irabu kama A, E, I, O na U. Hizo ni sauti tupu ambako hewa huondoka mdomoni bila kikwazo au sauti za pembeni. Konsonanti pamoja na irabu huunda silabi.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Konsonanti kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.