Vokali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vokali ni fonimu au sauti za lugha zinazotajwa kwa herufi za A, E, I, O na U. Kwa jumla ni sauti tupu ambako hewa huondoka mdomoni bila kikwazo au sauti za pembeni.

Herufi zote nyingine ni konsonanti kama B, D, K, L, P, S, W au Z. Kwa sauti hizo si hewa tu inayoondoka mdomoni lakini mwendo wake ni pamoja na sauti za pembeni kwa kutumia shingo, ulimi au meno.