Kasilda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kasilda, mchoro wa Francisco de Zurbarán.

Kasilda (Toledo, Hispania, 950 - Briviesca, Hispania, 1050[1]) alikuwa bikira Mwislamu, binti Yahya ibn Ismail al-Mamun, mfalme wa Toledo.

Baada ya kuzoea kuwasaidia kwa huruma Wakristo waliofungwa gerezani[2] , alibatizwa huko Burgos akaishi kama mkaapweke hadi mwisho wa maisha yake marefu[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Aprili[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "St. Casilda of Toledo, Spain", Antiochian Orthodox Christian Archdiocese of North America
  2. ""St. Casilda", Franciscan Media". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-06-28. Iliwekwa mnamo 2022-10-28. 
  3. Butler, Alban; Burns, Paul (1999-01-01). Butler's Lives of the Saints: April (kwa Kiingereza). A&C Black. uk. 66. ISBN 978-0-86012-253-1. 
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Concha Espina, Casilda de Toledo (Madrid: Biblioteca nueva, 1940)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.