Kasiani wa Imola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Kasiani, mchoro wa Innocenzo Francucci, 1500 hivi.
Kanisa kuu la Imola (Italia) lina jina lake.

Kasiani wa Imola (alifariki Forum Cornelii, leo Imola, Italia, karne ya 4) alikuwa mwalimu huko Imola, leo katika mkoa wa Emilia-Romagna huko Italia kaskazini) aliyekuwa akifundisha pia imani ya Kikristo.

Aliposhtakiwa alikataa kukana imani yake, akaadhibiwa kwa kumfanya auawe na wanafunzi wake[1][2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.