Kandida Maria wa Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.
Picha yake halisi.

Kandida Maria wa Yesu (Andoáin, Gipúzkoa, Hispania, 31 Mei 1845 - Salamanca, Hispania, 9 Agosti 1912) ni jina la kitawa la Juana Josefa Cipitria y Barriol.

Mwaka 1871 alianzisha shirika la Mabinti wa Yesu[1] lililowajibika kulea Kikristo watoto na wasichana [2][3][4].

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 12 Mei 1996, na Papa Benedikto XVI kuwa mtakatifu tarehe 17 Oktoba 2010.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.