Juliana Falconieri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Juliana huko Padua.

Juliana Falconieri, O.S.M. (Firenze, Italia, 1270 hivi – Firenze 1341) alikuwa bikira wa shirika la Watumishi wa Maria[1] lililoanzishwa na ndugu wa baba yake na wenzake sita.

Alikuwa kiongozi wa kwanza wa jumuia ya kike wa utawa huo[2].

Alitangazwa na Papa Inosenti XI kuwa mwenye heri tarehe 26 Julai 1678, na Papa Klementi XII kuwa mtakatifu tarehe 16 Juni 1737.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 19 Juni[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.