Juliana Falconieri
Mandhari

Juliana Falconieri, O.S.M. (Firenze, Italia, 1270 hivi – Firenze 1341) alikuwa bikira wa shirika la Watumishi wa Maria[1] lililoanzishwa na ndugu wa baba yake na wenzake sita.
Alikuwa kiongozi wa kwanza wa jumuia ya kike wa utawa huo[2].
Alitangazwa na Papa Inosenti XI kuwa mwenye heri tarehe 26 Julai 1678, na Papa Klementi XII kuwa mtakatifu tarehe 16 Juni 1737.
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 19 Juni[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 209
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 174-176
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |