Waanzilishi saba
Mandhari

Waanzilishi saba wa Utawa wa Watumishi wa Maria, ni wanaume wa Firenze (Italia) ambao mwaka 1233 hivi waliacha shughuli zao wakaenda kuishi upwekeni ili kuanzisha shirika la maisha ya wakfu aina ya ombaomba kwa heshima ya Bikira Maria[1].
Majina yao ni: Buonfiglio wa Monaldi (Bonfilius), Yohane wa Buonagiunta (Bonajuncta), Amadeo wa Amidei (Bartolomeus), Rikovero wa Lippi-Ugguccioni (Ugo), Benedikto wa Antella (Manettus), Gerardino wa Sostegno (Sostene), na Aleksi Falconieri (Alexius), wa mwisho kufa (1310), ambaye ndiye maarufu zaidi.
Wote wanaheshimiwa katika Kanisa Katoliki kama watakatifu, na sikukuu yao ya pamoja huwa tarehe 17 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 57-58
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 50-51
Marejeo ya Kilatini
[hariri | hariri chanzo]- Legenda de origine Ordinis fratrum Servorum Virginis Mariae auctore incerto 1317, a cura di Agostino M. Morini, OSM in: Monumenta Ordinis Servorum Sanctae Mariae (M.O.S.), I, Bruxelles 1897, pp. 60-106. Sehemu ndogo imetafsiriwa kwa Kiswahili katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 67-70
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti rasmi ya Watumishi wa Maria Ilihifadhiwa 10 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
- Tovuti ya Watumishi wa Maria Marekani
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |