Juan Diego

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Juan Diego Cuauhtlatoatzin.
Kadiri ya mapokeo, picha hii ya Bikira Maria wa Guadalupe ilipatikana kwa muujiza katika koti la Juan Diego, kwenye kilima cha Tepeyac karibu na Mexico City tarehe 12 Desemba 1531.

Juan Diego Cuauhtlatoatzin, yaani Yohane Diego Anayesema-kama-tai, (1474 hivi - 30 Mei 1548) ni mtu wa Mexico maarufu hasa kwa kusadikiwa kwamba alitokea na Bikira Maria akiwa na sura ya chotara. Njozi hiyo ilifuatwa haraka sana na wongofu wa Wahindi Wekundu milioni 8 wa nchi hiyo ambao waliingia Ukristo kati ya mwaka 1532 na 1538.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri mwaka 1990, halafu 2002 akamtangaza mtakatifu, wa kwanza kati ya wakazi wa asili ya Amerika.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 9 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Documentos indígenas

Documentos mestizos

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.