John Maron
Mandhari

John Maron (kwa Kiarabu يوحنا مارون, Yuhanna Marun; Sirmaniyah au Sarmin nchini Syria, 628 – Kfarhy, Lebanon, 707) aliongoza Kanisa la Wamaroni kama Patriarki wake wa kwanza.
Baada ya kuwa mmonaki wa monasteri ya Mtakatifu Maroni, mwaka 676 alipewa uaskofu, halafu akawa askofu mkuu wa mji wa Antiokia kuanzia mwaka 685 hadi alipofariki.
Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu.
Maandishi
[hariri | hariri chanzo]- Michel Breydy, Jean Maron. Expose de la foi et autres opuscules. Syr. 209. CSCO (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium), Bd. 407, Peeters, Louvain 1988
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Michael Breydy: Johannes Maron. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 3, Bautz, Herzberg 1992, ISBN 3-88309-035-2, Sp. 480–482.
- Siméon Vailhé, «Origines religieuses des Maronites», Échos d'Orient, t. IV, 1900-1901, n° 2, p. 96-102, et n° 3, p. 154-162.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- John Maron Ilihifadhiwa 13 Oktoba 2006 kwenye Wayback Machine.
- Tovuti rasmi ya Kanisa la Wamaroni Ilihifadhiwa 29 Desemba 2016 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |