Jeradi Sagredo
Mandhari

Jeradi Sagredo, O.S.B. (Venezia, Veneto, Italia, 23 Aprili 980 hivi - Budapest, Hungaria, 24 Septemba 1046) alikuwa mmonaki Mbenedikto aliyeinjilisha Hungaria chini ya mfalme wa kwanza, Stefano wa Hungaria, aliyemfanya askofu wa Csanad (1000–1038)[1].
Hatimaye aliuawa na Wapagani kwa kupigwa mawe, akaitwa Mtume wa Hungaria.
Papa Gregori VII alimtangaza mtakatifu tarehe 20 Agosti 1083 pamoja na Stefano na mwanae, Emeriko wa Hungaria, aliyelelewa naye.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 331-332
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |