Jeradi Majella

Jeradi Majella (Muro Lucano, Italia 6 Aprili 1726 – Caposele, 16 Oktoba 1755) alikuwa bradha wa shirika la Mkombozi.
Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 29 Januari 1893 akatangazwa na Papa Pius X kuwa mtakatifu tarehe 11 Desemba 1904.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- SaintGerard.com
- The Life of St. Gerard Majella: the miracle worker of the Catholic Church Archived 5 Machi 2016 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |