Heribert wa Cologne
Jump to navigation
Jump to search
Heribert wa Cologne (kwa Kijerumani: Heribert von Köln; Worms, 970 hivi; Cologne, 16 Machi 1021) alikuwa Askofu mkuu wa Cologne, Ujerumani, na Chansella wa Dola Takatifu la Roma chini ya kaisari Otto III.
Aliheshimiwa sana akiwa hai akatangazwa na Papa Gregori VII kuwa mtakatifu mwaka 1075 hivi.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 16 Machi.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Heribert von Köln (with picture of shrine) (Kijerumani)
- http://www.catholic.org/encyclopedia/view.php?id=205
![]() |
Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Heribert wa Cologne kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |