Gwalfadi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gualfardo of Verona, mchoro wa I. Brint (1620).

Gwalfadi, O.S.B.Cam. (kwa Kijerumani: Wolfhard[1]; Augsburg, leo nchini Ujerumani, 1070 hivi - Verona, leo nchini Italia, 30 Aprili 1127) alikuwa fundi aliyeishi zaidi ya miaka ishirini kama mkaapweke msituni, na hatimaye alijiunga na Wakamaldoli miaka kumi ya mwisho ya maisha yake, ingawa alikuwa na chumba chake nje ya monasteri yao, alipokuwa akitembelewa na waumini wengine[2].

Tangu kale huheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Vauchez, André. 1993 The Laity in the Middle Ages: Religious Beliefs and Devotional Practices. Daniel E. Bornstein (ed.) and Margery J. Schneider (trans.) Notre Dame: University of Notre Dame Press.