Gondulfi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Monulfi na Gondulfi katika dirisha la kioo cha rangi, Basilika la Bibi Yetu (Maastricht).

Gondulfi (kwa Kilatini: Gondulfus, Gundulphus, labda pia Bethulphus; karne ya 6 - karne ya 7) alikuwa askofu wa 22 wa jimbo la Tongeren-Maastricht, leo kati ya Ubelgiji na Uholanzi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Julai[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kiholanzi) Régis de la Haye, De bisschoppen van Maastricht. Maastricht, 1985

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.