Fransisko Antoni Fasani
Mandhari

Fransisko Antoni Fasani (Lucera, 6 Agosti 1681 - Lucera, 29 Novemba 1742) alikuwa padri wa utawa wa Ndugu Wadogo Wakonventuali kutoka Italia Kusini.
Msomi mkubwa, alipenda sana kuhubiri na kufanya toba, pamoja na kuhurumia fukara na wenye shida yoyote kwa kutoa daima bila kusita hata mavazi yake kuvika ombaomba na kuwapa wote msaada wake wa Kikristo [1].
Alitangazwa na Papa Pius XII kuwa mwenye heri tarehe 15 Aprili 1951, halafu tarehe 13 Aprili 1986 Papa Yohane Paulo II alimtangaza kuwa mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- Sala ya Kanisa ya Ki-fransisko - Benedictine Publications Ndanda - Peramiho, 1996, uk. 452-455
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 566-567
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saint Francesco Antonio Fasani Ilihifadhiwa 22 Juni 2009 kwenye Wayback Machine. Patron Saint Index
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |