Emilia wa Vialar
Mandhari


Emilia wa Vialar (kwa Kifaransa Émilie de Vialar, 12 Septemba 1797 – 24 Agosti 1856) alikuwa mtawa Mfaransa aliyeanzisha na kueneza kwa bidii shirika la kimisionari la Masista wa Mt. Yosefu wa Njozi kutoka Ulaya hadi Afrika, Asia na Australia[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 18 Juni 1939, halafu mtakatifu na Papa Pius XII tarehe 24 Juni 1951.
Maandishi yake
[hariri | hariri chanzo]- Relationship of Grace, written at the request of her confessor in 1842
- Spirit and rules of the Congregation - 1841
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 207-208
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 174
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |