Dimfna

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kukatwa kichwa kwa Mt. Dymphna, mchoro wa Godfried Maes.

Dimfna (pia: Dymphna, Dympna, Dimpna, Dymphnart, Damnat; Geel, Ubelgiji, karne ya 7) alikuwa msichana Mkristo wa Ireland ambaye baba yake mpagani, mfalme Damon wa Oriel, alimkata kichwa kwa sababu alikataa kuolewa naye baada ya kifo cha mama yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Mei[4] au 15 Mei.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.