Cuthbert wa Lindisfarne

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Cuthbert wa Lindisfarne katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa kuu la Gloucester.

Cuthbert wa Lindisfarne (634 hivi – 20 Machi 687) alikuwa Mkristo mwenye juhudi kama mmonaki, kama askofu na hatimaye kama mkaapweke [1] mipakani mwa Uingereza na Uskoti wa leo[2] .

Alifaulu kupatanisha msimamo mkali wa Ukristo wa Kiselti na desturi za Roma.

Tangu kale anaadhimishwa kama mtakatifu, hasa tarehe 20 Machi[3], lakini pia 31 Agosti na 4 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Battiscombe, 125–141; Farmer, 60
  2. Cuthbert came from the Bernicia part of the new Northumbrian kingdom, which was finally united in 634 around the time of his birth.
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Battiscombe, C. F. (ed), The Relics of Saint Cuthbert, Oxford University Press, 1956, including R. A. B. Mynors and R. Powell on 'The Stonyhurst Gospel'
  • Brown (2003), Brown, Michelle P., The Lindisfarne Gospels: Society, Spirituality and the Scribe, 2003, British Library, ISBN|978-0-7123-4807-2
  • Bede, Prose Life of Saint Cuthbert, written c. 721, online English text from Fordham University Archived 27 Oktoba 2014 at the Wayback Machine.
  • Farmer, David Hugh, Benedict's Disciples, 1995, Gracewing Publishing, ISBN|0-85244-274-2, ISBN|978-0-85244-274-6, Google books

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • B. Colgrave (ed), Two Lives of St. Cuthbert (Cambridge, 1940).
  • Marner, Dominic, St. Cuthbert: His Life and Cult in Medieval Durham (Toronto, University of Toronto Press, 2000).
  • Mechthild Gretsch, "Cuthbert: from Northumbrian Saint to Saint of All England," in Idem, Aelfric and the Cult of Saints in Late Anglo-Saxon England (Cambridge, CUP, 2006) (Cambridge Studies in Anglo-Saxon England, 34),
  • Crumplin, Sally, "Cuthbert the cross-border saint in the twelfth century," in Boardman, Steve, John Reuben Davies, Eila Williamson (eds), Saints' Cults in the Celtic World (Woodbridge, Boydell Press, 2009) (Studies in Celtic History),

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.