Bruno wa Koln
Mandhari

Bruno wa Koln (pia: Bruno Mkuu; Mei 925 - Reims, leo nchini Ufaransa, 11 Oktoba 965) alikuwa askofu mkuu wa Koln kuanzia mwaka 953 [1] na mtawala wa Lotharingia kuanzia mwaka 954) hadi kifo chake.
Mdogo wa mwisho wa Otto I[1], kaisari wa Dola Takatifu la Kiroma, alifaulu kutimiza majukumu yake ya kikuhani kwa bidii kubwa na yale ya siasa kwa moyo mkuu kadiri ya mahitaji ya wakati wake[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu, ingawa alitangazwa rasmi na Papa Pius IX mwaka 1870[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- 1 2 Religious Drama and Ecclesiastical Reform in the Tenth Century, James H. Forse, Early Theatre, Vol. 5, No. 2 (2002), 48.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/91267
- ↑ "Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome".
- ↑ Henry Mayr-Harting (2007), Church and Cosmos in Early Ottonian Germany: The View from Cologne, Oxford University Press, uk. xvii.
- ↑ Martyrologium Romanum
Vyanzo
[hariri | hariri chanzo]- Timothy Reuter, Germany in the early Middle Ages (1991, Longman. ISBN 0-582-49034-0 )
- Pierre Riché, The Carolingians: a family who forged Europe (translator Michael Idomir Allen, 1993, University of Pennsylvania Press. ISBN 0-8122-1342-4)
- Carl Dietmar and Werner Jung, Kleine illustrierte Geschichte der Stadt Köln (9th edition, 2002, J. P. Bachem Verlag, Köln. ISBN 3-7616-1482-9)
- Cora E. Lutz, Schoolmasters of the Tenth Century. Archon Books 1977.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |