Bona wa Pisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bona alivyochorwa na Giovanni Lorenzetti Fusari, 2003.

Bona wa Pisa (Pisa, Italia, 1156 - 29 Mei 1207) alikuwa bikira aliyemfuata tangu ujanani Yesu Kristo katika familia ya kiroho ya Waaugustino kwa kuhiji mara kadhaa Roma, Nchi takatifu na hasa Santiago de Compostela pamoja na kuhudumia waliokwenda huko[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Salani, Massimo. "Santa Bona da Pisa Vergine", Santi e Beati, October 23, 2001
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.