Aleksanda Sauli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Aleksanda, Mtume wa Corsica.

Aleksanda Sauli (Milano, Lombardia, 15 Februari 1534 - Calosso, Piemonte, 11 Oktoba 1592) alikuwa askofu wa Pavia na mtawa wa shirika la Makleri wa Mt. Paulo, maarufu kama Wabarnaba, nchini Italia[1].

Aliacha maandishi mbalimbali.

Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri tarehe 23 Aprili 1741, tena mtakatifu na Papa Pius X tarehe 11 Desemba 1904.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2][3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Frigerio, D. (1992). Alessandro Sauli: Vescovo e Santo di Ieri e di Oggi (1534–1592). Milano: Edizione "La Voce".
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.