Nenda kwa yaliyomo

Adariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Adariki katika mchoro wa ukutani.

Adariki, O.S.B. (kwa Kijerumani: Adalrich; kwa Kifaransa: Alaric; alifariki katika kisiwa cha Ufenau, katika Uswisi wa leo, 29 Septemba 973 hivi) alikuwa padri aliyeishi mara monasterini huko Einsiedeln, mara upwekeni [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Alban Butler, Vie des Pères, des martyrs et des autres principaux saints, Louvain 1831, tome 14e.
  • Helvetia Sacra, Tome III/1, 336 sq.
  • D. Geuenich : « La communauté féminine du coenobium Sichingis au s. X », in : Culture primitive à Säckingen, éd. par W. Berschin, 1991.
  • Ekkart Sauser : Adelrich (Adalrich). Dans : Lexique biographique et bibliographique de l'Église (BBKL). Volume 17, Bautz, Herzberg 2000, ISBN 3-88309-080-8 , colonnes 18–19.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.