Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Julius Nyerere International Airport
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
D80-2007-03-26 25.JPG
IATA: DARICAO: HTDA
Muhtasari
Aina Public
Operator Tanzania Airports Authority
Mahali Dar es Salaam
juu ya UB 196 ft / 60 m
Tovuti http://www.jnia.aero/
Runways
Mwelekeo Urefu Barabara
ft m
05/23 9,842 3,000 Asphalt
14/32 3,280 1,000 Asphalt


Kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere mjini Dar es Salaam ni kiwanja cha ndege kikubwa na muhimu zaidi nchini Tanzania. Kipo kilomita 12 kutoka kitovu cha jiji upande wa kusini magharibi.

Abiria 1,011,392 walipita humo mwaka 2004. Kuna barabara kubwa ya ndege yenye urefu wa mita 3,000 na nyingine ya mita 1,000.

[hariri] Makampuni ya ndege yanayohudumia kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Dar es Salaam

[hariri] Tazama pia

[hariri] Viungo vya nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine