Paula Montal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.

Paula Montal (Arenys de Mare, Barcelona, Hispania, 11 Oktoba 1799 - Olesa de Montserrat, 26 Februari 1889) alikuwa bikira mwanzilishi wa shirika la Mabinti wa Maria wa Shule za Kikristo ambalo ndani ya Kanisa Katoliki linahudumia wasichana na elimu yao kwa kufuata karama ya Yosefu Calasanz[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 18 Aprili 1993 na mtakatifu tarehe 25 Novemba 2001.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.